Higher Education Students' Loans Board
Mkurugenzi Mtendaji wa HESLB, Dkt. Bill Kiwia, amekutana na Msajili wa Hazina, Bw. Nehemia Mchechu siku ya Alhamisi, April 25, 2024 katika Ofisi za Msajili wa Hazina jijini Dar es salaam kwa lengo la kujitambulisha kufuatia kuteuliwa kuwa Mkurugenzi Mtendaji.
Katika kikao hicho, viongozi ........
Read More
Machi 18, 2024, Dar es salaam
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) na Wakala wa Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi Zanzibar (ZEEA) zimesaini hati ya makubaliano yenye lengo la kutafuta fursa za ajira kwa wanufaika na mikopo ya elimu ya juu ili kuwawezesha kurejesha.
Hafla ........
Read More
Tunapenda kuwafahamisha wanafunzi wa Stashahada (Diploma) waliopata udahili wa kuanza masomo mwezi Machi, 2024 kuwa dirisha la kuomba mkopo kwa njia ya mtandao litafunguliwa kwa WIKI TATU kuanzia Machi 1, 2024 hadi Machi 22, 2024.
Wanafunzi wanapaswa kusoma ‘Mwongozo wa Utoaji Mikop ........
Read More
Dodoma, Februari 22, 2024
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mtendaji wa HESLB Dkt. Bill Kiwia aliyefika ofisini kwa Waziri jijini Dodoma kujitambulisha rasmi baada ya kuteuliwa Februari 6 mwaka huu.
Katika kikao ........
Read More
HESLB, SAFAG ya Uswisi zaanza mazungumzo kuongeza vyanzo vya fedha
Na Mwandishi Wetu, Dar es salaam
Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) Dr. Bill Kiwia amekutana na Mtendaji Mkuu wa taasisi ya Swiss Alternative Financing (SAFA ........
Read More