Higher Education Students' Loans Board
Zikiwa zimebaki siku kumi (10) kabla ya kufunga dirisha la maombi ya mikopo kwa mwaka 2025/2026, tunawakumbusha waombaji wa mikopo na ‘Samia Scholarship’ kwamba dirisha litafungwa tarehe 31 Agosti, 2025 na hakutakuwa na muda < ........
Read More
Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu ( HESLB), Dkt Bill Kiwia leo ameanza ziara ya kikazi ya siku mbili mkoani Mtwara.
Baada ya kuwasili mkoani hapo alifika katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Mhe. Kanali Patrick Sawala kumsalimu pamoja kumwelezea ma ........
Maonesho ya Kitaifa ya Kilimo (Nanenane) kwa mwaka 2025 yamezinduliwa rasmi leo Agosti 1, 2025 katika Viwanja vya Nzuguni jijini Dodoma, yakihudhuriwa na maelfu ya wananchi kutoka mikoa mbalimbali nchini.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango ambaye ame ........
Read More
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu Zanzibar (ZHESLB) Prof. Mohammed Hafidh akiambatana na Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu Zanzibar (ZHESLB) Bi Umrat Mohammed leo wametembelea Ofisi za Bodi ya Mikopo ya Wa ........
Read More
Wazazi na walezi wa mji wa Bukoba wamejitokeza kwa wingi leo (Jumatano, Julai 30, 2025) kupata elimu ya uombaji mikopo ya elimu ya juu kwa mwaka wa masomo 2025/2026 inayotolewa na Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu Juu (HESLB) kwa kushirikiana na Benki ya CRDB na wadau wengine wa kimkakati.
........ Read More