Higher Education Students' Loans Board

  • Dar es Salaam, Tanzania. P.O.Box 76068

  • General call +255 22 286 4643

  • Monday - Friday8:00am - 5:00pm

News & Events

19
June 2025

DKT. KIWIA: WAOMBAJI MIKOPO SOMENI NA KUZINGATIA MIONGOZO

Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu, Dkt. Bill Kiwia amewasisitiza waombaji mikopo wote kwa mwaka wa masomo wa 2025/2026 kusoma na kuzingatia miongozo ya utoaji mikopo ili kuwasilisha maombi yao kwa usahihi.

Dkt. Kiwia ameyasema hayo katika mkutano wake na w ........

Read More
18
June 2025

USAJILI WA TAASISI ZINAZOTOA UFADHILI KWA WANAFUNZI WA SEKONDARI NA STASHAHADA

- Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) inapenda kuwataarifu wadau wote kuwa imeanza mchakato wa usajili wa taasisi na mashirika yanayotoa ufadhili kwa wanafunzi wanaosoma katika ngazi ya Sekondari na Stasha ........

Read More
6
June 2025

Prof. Nombo Azindua Miongozo Utoaji Mikopo na Ruzuku kwa Mwaka 2025/2026

Dodoma, Ijumaa, Juni 6, 2025

Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia (WyEST), Prof. Carolyne Nombo leo (Ijumaa, Juni 6, 2025) amezindua miongozo ya utoaji mikopo na ruzuku kwa wanafunzi wa elimu ya juu na vyuo vya kati kwa mwaka 2025/2026 ku ........

Read More
28
May 2025

RAIS SAMIA AONGEZA MIKOPO ELIMU YA JUU KUTOKA BIL 464 HADI BIL 787

Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan imeongeza mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu kutoka kiasi cha shilingi bilioni 464 katika bajeti ya mwaka 2024/2025 hadi kufikia TZS 787 Bilioni katika bajeti ya mwaka 2025/2026.

........

Read More
17
May 2025

TAARIFA KWA UMMA

WANAFUNZI WA STASHAHADA WALIOPANGIWA MIKOPO DIRISHA LA MWEZI MACHI 2025 WAFIKIA 1,413

Tunawataarifu wanafunzi wote walioomba mikopo na umma kwa ujumla kuwa jumla ya wanafunzi 1,413 walioomba mikopo dirisha la mwezi Machi, 2025, wamepangiwa ........

Read More