Higher Education Students' Loans Board

  • Dar es Salaam, Tanzania. P.O.Box 76068

  • General call +255 22 286 4643

  • Monday - Friday8:00am - 5:00pm

News & Events


4
August 2025

Dkt. Kiwia awasiri Mtwara kwa Ziara

Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu ( HESLB), Dkt Bill Kiwia leo ameanza ziara ya kikazi ya siku mbili mkoani Mtwara.

Baada ya kuwasili mkoani hapo alifika katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Mhe. Kanali Patrick Sawala kumsalimu pamoja kumwelezea mafanikio ya taasisi hiyo hususan katika kipindi cha miaka mitano iliyopita.

Aidha, katika ziara hiyo, ambayo ameambatana na baadhi ya Wakuu wa Idara na Vitengo wa HESLB, Dkt. Kiwia anatarajiwa kukutana na wanufaika na waajiri walioko mkoani Mtwara.