Higher Education Students' Loans Board
Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB), Dkt. Bill Kiwia, leo Juni 30, 2025 ameongoza kikao maalum cha ndani cha kufunga mwaka wa fedha 2024/2025 kilichofanyika katika ofisi za HESLB zilizopo eneo la TAZARA, Dar es Salaam.
Akizungumza katika kikao hicho ........
Read More
- Mikopo imeongezeka kwa 69.7%
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ( Ijumaa, Juni 27, 2025 ) amehitimisha Bunge la 12 katika hotuba yake iliyochukua takriban saa tatu na kubainisha mafanikio yaliyofikiwa katika s ........
Read More
Kufuatia agizo la Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa alilotoa kwenye maadhimisho ya miaka 20 ya Chuo Kikuu cha Kiislamu cha Morogoro (MUM) kuhusiano na kutoa elimu kuhusu utoaji wa mikopo, Jumatano Juni 25, 2025, ujumbe kutoka Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) ulioongozwa na Mkuru ........
Read More
Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu, Dkt. Bill Kiwia amewasisitiza waombaji mikopo wote kwa mwaka wa masomo wa 2025/2026 kusoma na kuzingatia miongozo ya utoaji mikopo ili kuwasilisha maombi yao kwa usahihi.
Dkt. Kiwia ameyasema hayo katika mkutano wake na w ........
Read More
- Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) inapenda kuwataarifu wadau wote kuwa imeanza mchakato wa usajili wa taasisi na mashirika yanayotoa ufadhili kwa wanafunzi wanaosoma katika ngazi ya Sekondari na Stasha ........
Read More