Higher Education Students' Loans Board
1. UTANGULIZI
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) kwa kushirikiana na taasisi ya Adanian Labs inapenda kuwafahamisha wanafunzi na wahitimu wa shahada kuhusu uwepo wa fursa za mafunzo ya TEHAMA ili ........
Read More
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) leo (Ijumaa, Juni 28, 2024) imezindua Kampeni Maalumu inayolenga kuwashirikisha wananchi kwa kutumia simu na mitandao ya kijamii, kuwafichua wadaiwa sugu wa mikopo ya elimu ya juu.
Kampeni hiyo, inayofahamika kama #Fichua imezinduliwa ji ........
Read More
Zanzibar, Juni 20, 2024
Mkurugenzi Mtendaji wa HESLB Dkt. Bill Kiwia ametoa tuzo za mwaka 2023/2024 kwa Taasisi kumi zilizopo Zanzibar kwa kutambua mchango wao katika urejeshaji wa mikopo ya wanafunzi na kufuata Sheria ya HESLB ipasavyo.
Read More
Mkurugenzi Mtendaji wa HESLB, Dkt. Bill Kiwia leo (Alhamisi, June 06, 2024), amezungumza na vyombo vya Habari kuhusu kufunguliwa kwa msimu wa uombaji mikopo kwa mwaka 2024/2025 na kuweka wazi jinsi HESLB ilivyojipanga kutoa huduma kwa waombaji mikopo wanaotarajia kujiunga na elimu ya juu katika n ........
Read More
Online application window will be open for 90 days
Students are advised to read the guidelines before applying for loan
Minister of Education, Science and Technology Prof. Adolf Mkenda, today (Mon ........
Read More