Higher Education Students' Loans Board

  • Dar es Salaam, Tanzania. P.O.Box 76068

  • General call +255 22 286 4643

  • Monday - Friday8:00am - 5:00pm

News & Events

23
July 2024

FURSA ZA MAFUNZO YA KUONGEZA UJUZI KWA WAHITIMU NA WANAFUNZI WA SHAHADA MWAKA WA MWISHO

1.       UTANGULIZI

Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) kwa kushirikiana na taasisi ya Adanian Labs inapenda kuwafahamisha wanafunzi na wahitimu wa shahada kuhusu uwepo wa fursa za mafunzo ya TEHAMA ili ........

Read More
28
June 2024

HESLB yaja na #Fichua kuwasaka wadaiwa sugu

Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) leo (Ijumaa, Juni 28, 2024) imezindua Kampeni Maalumu inayolenga kuwashirikisha wananchi kwa kutumia simu na mitandao ya kijamii, kuwafichua wadaiwa sugu wa mikopo ya elimu ya juu.

Kampeni hiyo, inayofahamika kama #Fichua imezinduliwa ji ........

Read More
24
June 2024

HESLB YASHEREHEKEA 'MIKOPO OPEN DAY' 2024

  • YATUNUKU WAAJIRI ZANZIBAR

Zanzibar, Juni 20, 2024

Mkurugenzi Mtendaji wa HESLB Dkt. Bill Kiwia ametoa tuzo za mwaka 2023/2024 kwa Taasisi kumi zilizopo Zanzibar kwa kutambua mchango wao katika urejeshaji wa mikopo ya wanafunzi na kufuata Sheria ya HESLB ipasavyo.

Read More
6
June 2024

Msimu wa Uombaji Mikopo kwa mwaka 2024/2025 Wafunguliwa

Mkurugenzi Mtendaji wa HESLB, Dkt. Bill Kiwia leo (Alhamisi, June 06, 2024), amezungumza na vyombo vya Habari kuhusu kufunguliwa kwa msimu wa uombaji mikopo kwa mwaka 2024/2025 na kuweka wazi jinsi HESLB ilivyojipanga kutoa huduma kwa waombaji mikopo wanaotarajia kujiunga na elimu ya juu katika n ........

Read More
27
May 2024

PROF. MKENDA LAUNCHES GUIDELINES FOR ISSUANCE OF LOANS AND GRANTS FOR 2024/2025

Online application window will be open for 90 days

Students are advised to read the guidelines before applying for loan

Minister of Education, Science and Technology Prof. Adolf Mkenda, today (Mon ........

Read More