Higher Education Students' Loans Board

  • Dar es Salaam, Tanzania. P.O.Box 76068

  • General call +255 22 286 4643

  • Monday - Friday8:00am - 5:00pm

News & Events

30
June 2025

DKT. KIWIA AFUNGA MWAKA WA FEDHA 2024/2025 KWA KIKAO CHA WAFANYAKAZI NA KUTOA MWELEKEO WA MWAKA MPYA

Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB), Dkt. Bill Kiwia, leo Juni 30, 2025 ameongoza kikao maalum cha ndani cha kufunga mwaka wa fedha 2024/2025 kilichofanyika katika ofisi za HESLB zilizopo eneo la TAZARA, Dar es Salaam.

Akizungumza katika kikao hicho ........

Read More
28
June 2025

RAIS SAMIA AHITIMISHA BUNGE LA 12: MAFANIKIO MIKOPO YA WANAFUNZI YATAJWA

     -   Mikopo imeongezeka  kwa 69.7%

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ( Ijumaa, Juni 27, 2025 ) amehitimisha Bunge la 12 katika hotuba yake iliyochukua takriban saa tatu na kubainisha mafanikio yaliyofikiwa katika s ........

Read More
26
June 2025

HESLB NA MUM WAZUNGUMZA

Kufuatia agizo la Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa alilotoa kwenye maadhimisho ya miaka 20 ya Chuo Kikuu cha Kiislamu cha Morogoro (MUM) kuhusiano na kutoa elimu kuhusu utoaji wa mikopo, Jumatano Juni 25, 2025, ujumbe kutoka Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) ulioongozwa na Mkuru ........

Read More
19
June 2025

DKT. KIWIA: WAOMBAJI MIKOPO SOMENI NA KUZINGATIA MIONGOZO

Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu, Dkt. Bill Kiwia amewasisitiza waombaji mikopo wote kwa mwaka wa masomo wa 2025/2026 kusoma na kuzingatia miongozo ya utoaji mikopo ili kuwasilisha maombi yao kwa usahihi.

Dkt. Kiwia ameyasema hayo katika mkutano wake na w ........

Read More
18
June 2025

USAJILI WA TAASISI ZINAZOTOA UFADHILI KWA WANAFUNZI WA SEKONDARI NA STASHAHADA

- Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) inapenda kuwataarifu wadau wote kuwa imeanza mchakato wa usajili wa taasisi na mashirika yanayotoa ufadhili kwa wanafunzi wanaosoma katika ngazi ya Sekondari na Stasha ........

Read More