Higher Education Students' Loans Board
1. UTANGULIZI
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB), imetangaza jumla ya wanafunzi 2,177 waliopangiwa mikopo yenye thamani ya TZS 7.26 bilioni baada ya kuwasilisha maombi ya rufaa kwa mwaka wa ma ........
Read More
1.0 UTANGULIZI
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) inapenda kuujulisha umma kuwa upangaji wa mikopo ya Stashahada (Diploma) kwa mara ya kwanza kwa mwaka wa masomo 2023/2024 umekamilika na imetuma orodha ........
Read More
Wenyeviti wapanga kushirikiana zaidi
Bodi ya Wakurugenzi ya Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu Zanzibar (ZHELB) ikiongozwa na Mwenyekiti wake Prof. Mohammed Hafidh Khalfan leo imefanya ziara ya kikazi katika ofisi za Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB ........
Read More
Tunapenda kuwakumbusha wanafunzi wanufaika wa mikopo ya elimu ya juu kuwa malipo ya fedha za mikopo inayotolewa na Serikali kupitia HESLB yanalipwa na kupokelewa na mwanafunzi-mnufaika kupitia akaunti yake ya benki aliyoichagua na kuisajili kupokelea fedha za mkopo wake.
Ufafanuzi huu una ........
Read More
1. Ingia kwenye tovuti (www.heslb.go.tz) ili kusoma orodha ya majina ya wanafunzi walengwa wa ‘SAMIA SCHOLARSHIP’ kwa mwaka 2023-2024;
2. Ingia (https://olas.heslb.go.tz) kujaz ........
Read More