Higher Education Students' Loans Board

  • Dar es Salaam, Tanzania. P.O.Box 76068

  • General call +255 22 286 4643

  • Monday - Friday8:00am - 5:00pm

News & Events

4
December 2023

WANAFUNZI 2,177 WAPANGIWA MIKOPO KWA RUFAA 2023/2024

 

1.      UTANGULIZI

Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB), imetangaza jumla ya wanafunzi 2,177 waliopangiwa mikopo yenye thamani ya TZS 7.26 bilioni baada ya kuwasilisha maombi ya rufaa kwa mwaka wa ma ........

Read More
30
November 2023

HESLB YATANGAZA WALIOPATA MIKOPO YA 'DIPLOMA' 2023/2024

1.0       UTANGULIZI

Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) inapenda kuujulisha umma kuwa upangaji wa mikopo ya Stashahada (Diploma) kwa mara ya kwanza kwa mwaka wa masomo 2023/2024 umekamilika na imetuma orodha ........

Read More
28
November 2023

BODI YA WAKURUGENZI ZHELB YAFANYA ZIARA YA KIKAZI HESLB

Wenyeviti wapanga kushirikiana zaidi

Bodi ya Wakurugenzi ya Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu Zanzibar (ZHELB) ikiongozwa na Mwenyekiti wake Prof. Mohammed Hafidh Khalfan leo imefanya ziara ya kikazi katika ofisi za Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB ........

Read More
18
November 2023

UFAFANUZI: MALIPO YA FEDHA ZA MIKOPO HULIPWA AKAUNTI YA BENKI YOYOTE

Tunapenda kuwakumbusha wanafunzi wanufaika wa mikopo ya elimu ya juu kuwa malipo ya fedha za mikopo inayotolewa na Serikali kupitia HESLB yanalipwa na kupokelewa na mwanafunzi-mnufaika kupitia akaunti yake ya benki aliyoichagua na kuisajili kupokelea fedha za mkopo wake.

Ufafanuzi huu una ........

Read More
15
November 2023

HATUA NANE (08) KUJAZA FOMU YA 'SAMIA SCHOLARSHIP' MTANDAONI

1. Ingia kwenye  tovuti (www.heslb.go.tz) ili kusoma orodha ya majina ya wanafunzi walengwa wa ‘SAMIA SCHOLARSHIP’ kwa mwaka 2023-2024;

2. Ingia (https://olas.heslb.go.tz) kujaz ........

Read More