Higher Education Students' Loans Board

  • Dar es Salaam, Tanzania. P.O.Box 76068

  • General call +255 22 286 4643

  • Monday - Friday8:00am - 5:00pm

News & Events


27
February 2024

Prof. Adolf Mkenda akutana na Dkt. Bill Kiwia

Dodoma, Februari 22, 2024

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mtendaji wa HESLB Dkt. Bill Kiwia aliyefika ofisini kwa Waziri jijini Dodoma kujitambulisha rasmi baada ya kuteuliwa Februari 6 mwaka huu.

Katika kikao hicho, kilichohudhuriwa pia na Naibu Katibu Mkuu Prof. James Mdoe na Mkurugenzi wa Elimu ya Juu Prof. Peter Msoffe, Prof. Mkenda ameelekeza, pamoja na mambo mengine, HESLB kuendelea kuzingatia sheria, sera na maelekezo ya Wizara na Serikali kwa ujumla katika kutekeleza majukumu yake.

Dkt. Kiwia aliongozana na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya HESLB Prof. Hamisi Dihenga ambao wamemshukuru Prof. Mkenda kwa ushirikiano na miongozo anayoitoa kwa HESLB ambayo inaimarisha utendaji na kuongeza tija