Higher Education Students' Loans Board

  • Dar es Salaam, Tanzania. P.O.Box 76068

  • General call +255 22 286 4643

  • Monday - Friday8:00am - 5:00pm

News & Events

18
March 2024

HESLB, ZEEA zasaini makubaliano kuwezesha wanufaika mikopo kujiajiri

Machi 18, 2024, Dar es salaam

Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) na Wakala wa Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi Zanzibar (ZEEA) zimesaini hati ya makubaliano yenye lengo la kutafuta fursa za ajira kwa wanufaika na mikopo ya elimu ya juu ili kuwawezesha kurejesha.

Hafla ........

Read More
29
February 2024

MPYA: MAOMBI YA MIKOPO STASHAHADA KUANZA KUPOKELEWA MACHI 1

Tunapenda kuwafahamisha wanafunzi wa Stashahada (Diploma) waliopata udahili wa kuanza masomo mwezi Machi, 2024 kuwa dirisha la kuomba mkopo kwa njia ya mtandao litafunguliwa kwa WIKI TATU kuanzia Machi 1, 2024 hadi Machi 22, 2024.

Wanafunzi wanapaswa kusoma ‘Mwongozo wa Utoaji Mikop ........

Read More
27
February 2024

Prof. Adolf Mkenda akutana na Dkt. Bill Kiwia

Dodoma, Februari 22, 2024

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mtendaji wa HESLB Dkt. Bill Kiwia aliyefika ofisini kwa Waziri jijini Dodoma kujitambulisha rasmi baada ya kuteuliwa Februari 6 mwaka huu.

Katika kikao ........

Read More
16
February 2024

HESLB, SAFAG ya Uswizi zaanza mazungumzo kuongeza vyanzo vya fedha

HESLB, SAFAG ya Uswisi zaanza mazungumzo kuongeza vyanzo vya fedha

Na Mwandishi Wetu, Dar es salaam

Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) Dr. Bill Kiwia amekutana na Mtendaji Mkuu wa taasisi ya Swiss Alternative Financing (SAFA ........

Read More
7
February 2024

PRESIDENT SAMIA APPOINTS Dr. KIWIA AS HESLB CEO

Wednesday, Feb. 7, 2024

President Samia Suluhu Hassan has appointed Dr. Bill Kiwia to be the Executive Director of the Higher Education Students’ Loans Board (HESLB).

Dr. Kiwia takes over from Mr. Abdul-Razaq Badru who has been appointed Director General of the Public Servic ........

Read More