Higher Education Students' Loans Board

  • Dar es Salaam, Tanzania. P.O.Box 76068

  • General call +255 22 286 4643

  • Monday - Friday8:00am - 5:00pm

FAQ

Maswali Kuhusu Urejeshaji Wa Mkopo

HESLB repayment sections

Popular Questions

  • LINALIPIKA: Na kwa wastani, kila mwezi wanufaka 240 wanamaliza madeni yao
  • Wanufaika wote wa mikopo WANAKUMBUSHWA kujitokeza na kuanza kurejesha kwa wakati ili kuepuka tozo ya adhabu (penalty)
  • Tozo ya adhabu (penalty0 ya 10% huanza kutozwa baada ya miezi 24 tangu mnufaika ahitimu masomo

General Questions

  • Kwa mujibu wa Sheria ya Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (SURA 178), mwajiri anapaswa aijulishe Bodi kwa maandishi kuhusu waajiriwa wapya ambao ni wahitimu wa vyuo vya elimu ya juu ndani ya siku ishirini na nane (28) tangu tarehe ambayo wahitimu hao wameajiriwa
  • Mkopo huanza kulipwa inapomalizika miezi 24 baada ya kuhitimu masomo ya elimu ya juu au baada ya kusitisha masomo kwa sababu yoyote ile.

 

  • Mara baada ya kuhitimu masomo au kusitisha masomo yake kwa sababu yoyote ile, mnufaika anapaswa aitaarifu Bodi kwa maandishi mahali alipo na hali ya ajira yake na kuanza kurejesha mkopo wake.
  • Kwa wanufaika waajiriwa, hukatwa asilimia kumi na tano (15%) ya mshahara wa kila mwezi.
  • Aidha, mnufaika aliyejiajiri anapaswa kurejesha kiwango cha chini cha shilingi 100,000/= kila mwezi